Wednesday, November 17, 2010

Watch out president KIKWETE--------------Day four

Rais wetu mpendwa Mrisho  kazi kwako!  Tunakutegemea utupatie safu ya mawaziri makini wenye kujituma na wazalendo wa kweli, wenye mapenzi mema na nchi hii.ili wasije wakaliangusha taifa letu1!!!! Waogope mafisadi,hao hao ndio wamechangia CCM kukosa baadhi ya majimbo muhimu kwenye majiji ya Mwanza, Mbeya, Arusha,  Moshi na Dar-es-salaam hiyo ndio TANZANIA yenye wadadisi na wajuzi wa mambo!

KUWA MWANGALIFU LA SIVYO WATAKUANGUSHA!!!!!!!!!!!!!

End

No comments:

Post a Comment